×

Na wakiona Ishara hugeuka upande na husema: Huu uchawi tu unazidi kuendelea 54:2 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Qamar ⮕ (54:2) ayat 2 in Swahili

54:2 Surah Al-Qamar ayat 2 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Qamar ayat 2 - القَمَر - Page - Juz 27

﴿وَإِن يَرَوۡاْ ءَايَةٗ يُعۡرِضُواْ وَيَقُولُواْ سِحۡرٞ مُّسۡتَمِرّٞ ﴾
[القَمَر: 2]

Na wakiona Ishara hugeuka upande na husema: Huu uchawi tu unazidi kuendelea

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وإن يروا آية يعرضوا ويقولوا سحر مستمر, باللغة السواحيلية

﴿وإن يروا آية يعرضوا ويقولوا سحر مستمر﴾ [القَمَر: 2]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na washirikina wakiiona dalili na ushahidi juu ya ukweli wa Mtume Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, wanakataa kuziamini na kuzisadiki hali ya kukanusha na kupinga, na wanasema baada ya dalili kujitokeza, «Huu ni uchawi wenye ubatilifu na wenye kuondoka na kupotea usiokuwa na sifa ya kudumu
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek