×

Na miongoni mwao wapo wanao sema: Niruhusu wala usinitie katika fitina. Kwa 9:49 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah At-Taubah ⮕ (9:49) ayat 49 in Swahili

9:49 Surah At-Taubah ayat 49 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah At-Taubah ayat 49 - التوبَة - Page - Juz 10

﴿وَمِنۡهُم مَّن يَقُولُ ٱئۡذَن لِّي وَلَا تَفۡتِنِّيٓۚ أَلَا فِي ٱلۡفِتۡنَةِ سَقَطُواْۗ وَإِنَّ جَهَنَّمَ لَمُحِيطَةُۢ بِٱلۡكَٰفِرِينَ ﴾
[التوبَة: 49]

Na miongoni mwao wapo wanao sema: Niruhusu wala usinitie katika fitina. Kwa yakini wao hivyo wamekwisha tumbukia katika fitina. Na hakika Jahannamu imewazunguka

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ومنهم من يقول ائذن لي ولا تفتني ألا في الفتنة سقطوا وإن, باللغة السواحيلية

﴿ومنهم من يقول ائذن لي ولا تفتني ألا في الفتنة سقطوا وإن﴾ [التوبَة: 49]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Miongoni mwa wanafiki hawa, kuna wale wanaoomba ruhusa ya kuketi wasiende kwenye jihadi na wanasema, «Usiniingize kwenye mtihani utakaonifikia, katika hali ya kutoka, wa fitina ya kuvutiwa na wanawake.» Hakika wanafiki hawa wameanguka kwenye fitina kubwa ya unafiki. Na kwa hakika, Moto wa jahanamu ni wenye kuwazunguka wanaomkanusha Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho; hakuna atakayeponyoka
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek