×

Wakasema waheshimiwa wa kaumu ya Firauni: Hakika huyo ni mchawi mjuzi 7:109 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-A‘raf ⮕ (7:109) ayat 109 in Swahili

7:109 Surah Al-A‘raf ayat 109 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-A‘raf ayat 109 - الأعرَاف - Page - Juz 9

﴿قَالَ ٱلۡمَلَأُ مِن قَوۡمِ فِرۡعَوۡنَ إِنَّ هَٰذَا لَسَٰحِرٌ عَلِيمٞ ﴾
[الأعرَاف: 109]

Wakasema waheshimiwa wa kaumu ya Firauni: Hakika huyo ni mchawi mjuzi

❮ Previous Next ❯

ترجمة: قال الملأ من قوم فرعون إن هذا لساحر عليم, باللغة السواحيلية

﴿قال الملأ من قوم فرعون إن هذا لساحر عليم﴾ [الأعرَاف: 109]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Watukufu wa watu wa Fir'awn walisema, «Hakika Mūsā ni mchawi, anayatawala macho ya watu kwa kuwadanganya mpaka ikawaingia kwenye fikira zao kuwa fimbo ni nyoka, na kukiona kitu kinyume na vile kilivyo, na yeye ana ujuzi mwingi wa uchawi na ana uhodari nao
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek