×

Na ndugu zao wanawavutia kwenye upotofu, kisha wao hawaachi 7:202 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-A‘raf ⮕ (7:202) ayat 202 in Swahili

7:202 Surah Al-A‘raf ayat 202 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-A‘raf ayat 202 - الأعرَاف - Page - Juz 9

﴿وَإِخۡوَٰنُهُمۡ يَمُدُّونَهُمۡ فِي ٱلۡغَيِّ ثُمَّ لَا يُقۡصِرُونَ ﴾
[الأعرَاف: 202]

Na ndugu zao wanawavutia kwenye upotofu, kisha wao hawaachi

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وإخوانهم يمدونهم في الغي ثم لا يقصرون, باللغة السواحيلية

﴿وإخوانهم يمدونهم في الغي ثم لا يقصرون﴾ [الأعرَاف: 202]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na ndugu wa mashetani, nao ni wapotofu miongoni mwa wapotevu wa wanadamu ambao mashetani wanawasukuma kwenye upotevu na upotofu. Na mashetani wa kijini hawaachi nafasi iwapite katika kuwasukuma kwao mashetani wa kibinadamu kwenye upotofu. Na mashetani wa kibinadamu hawaachi nafasi iwapite katika kuyafanya yale ambayo mashetani wa kijini wanayafanyia ushawishi
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek